read
news & Articles
Inonga agawa tuzo yake kwa mashabiki
Mlinzi wa kati Henock Inonga, ameamua kugawa tuzo yake ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Aprili (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the
Queens yaifuata Fountain Gate Dodoma
Kikosi chetu cha Simba Queens kimeondoka kuelekea jijini Dodoma tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Womens Premier League) dhidi ya Fountain
Inonga atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora
Mlinzi wa kati Henock Inonga, amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Aprili (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Ndani ya mwezi
Pablo: Tumefanya makosa yaliyotugharimu
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi kuwa tumefanya makosa ya kiulinzi yaliyoifanya Namungo kupata mabao mepesi katika mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC uliomalizika
Tumegawana pointi na Namungo
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC uliopigwa Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi umemalizika kwa sare ya kufungana mabao 2-2. Wenyeji
Pablo abadili watano mbele ya Namungo leo
Kocha Mkuu Pablo Franco, amefanya mabadiliko ya wachezaji watano katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu dhidi ya Namungo kulinganisha na kikosi kilichoanza mechi iliyopita