Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena

Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi Tanzania Prisons utakaopigiwa kesho saa 12:15 jioni.

Mazoezi hayo yamefanyika leo jioni katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena.

Tunajua mchezo utakuwa mgumu na tunaiheshimu Tanzania Prisons tunategemea kupata ushindani mkubwa lakini tumejiandaa vizuri kupata ushindi.

SHARE :
Facebook
Twitter

One Response

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER