read
news & Articles
Kapombe afikisha mechi 100 Ligi Kuu
Mlinzi wa kulia Shomari Kapombe amecheza mchezo wake 100 wa Ligi Kuu tangu alipojiunga nasi kwa mara ya pili akitokea Azam FC mwaka 2017. Tangu
Pablo abadili watatu dhidi ya Ruvu Shooting Leo
Kocha Mkuu Pablo Franco amefanya mabadiliko ya wachezaji watatu katika mchezo wetu wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ruvu Shooting ukilinganisha na
Tupo kwa Mkapa Leo kuikabili Ruvu Shooting
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku kuikabili Ruvu Shooting katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kikosi kipo katika
Queens yaipiga 4G Fountain Dodoma
Timu yetu ya Simba Queens imeendeleza moto wake katika Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Womens Premier League) baada ya kuichakaza Fountain Gate mabao 4-0 katika
Matola: Kutopata matokeo hakujatuvunja moyo
Kocha Msaidizi Seleman Matola, amesema kikosi chetu kipo tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi Ruvu Shooting utakaopigwa Uwanja kwa Benjamin
Emirate yamfanyia ‘surprise’ Ahmed Ally
Kampuni ya Emirate Aluminium ACP imemshtukiza Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally kwa kumkabidhi kitita cha Sh 2,000,000 baada ya kufanya kazi kubwa