read
news & Articles
Pablo afunguka kuhusu Derby ya kesho Kirumba
Kocha Mkuu Pablo Franco ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa Nusu Fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya watani wetu
Pablo afunguka Hali ya kikosi
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema kikosi kipo katika hali nzuri kuelekea mchezo wa Nusu Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Yanga utakaopigwa
Ahmed: Ni furaha kutwaa taji kwa kuifunga Yanga
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa hatuna nafasi ya kuchukua taji la Ligi Kuu msimu huu ndiyo maana tumeweka nguvu
Kuziona Simba, Yanga Jumamosi ‘buku’ 10
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Nusu Fainali ya Michuano ya Azam Sports Federation Cup kati yetu na Yanga ambapo cha
Timu yafanya mazoezi ya gym
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya gym asubuhi kwa ajili ya kuweka miili sawa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wetu wa Nusu Fainali ya
Timu yaanza Maandalizi ya Nusu Fainali ASFC
Kikosi chetu kimeanza mazoezi katika Uwanja wa Nyamagana ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wetu wa Nusu Fainali ya Michuano ya Azam Sports Federation