read
news & Articles
Mashabiki wamuaga Bwalya kwa minoti
Mashabiki wa Simba wamemlaki kiungo mshambuliaji Rally Bwalya na kumtunza pesa baada ya mechi dhidi ya KMC ikiwa ni sehemu ya kumuaga rasmi ambapo hiyo
Tumeichapa KMC na kuupiga mwingi kwa Mkapa
Pamoja na ushindi mnono wa mabao 3-1 tuliopata dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa kikosi chetu
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya KMC leo
Mshambuliaji Kibu Denis ataendelea kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa
Tuna kazi na KMC kwa Mkapa leo
Baada ya ushindi wa mabao 3-0 tuliopata Alhamisi dhidi ya Mbeya City leo tunashuka tena katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili KMC katika mchezo wa
Bwalya kuagwa rasmi kesho kwa Mkapa
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema tutatumia mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Alichosema Kocha Matola kuelekea mchezo na KMC
Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola, amesema morali ya wachezaji ipo juu kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya KMC licha ya kuwa bingwa wa ligi amepatikana.