read
news & Articles
Kikosi kitakacho tuwakilisha dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu Zoran amefanya mabadiliko ya mchezaji mmoja katika mchezo wa leo dhidi ya Kagera ukilinganisha na mechi iliyopata dhidi ya Geita Gold. Moses Phiri
Queens yatinga Nusu Fainali CECAFA
Kikosi chetu cha Simba Queens kimetinga Nusu Fainali ya michuano ya Klabu bingwa Afrika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) baada ya kuifunga Yei
Kikosi cha Queens kitakachoikabili Yei Joints Leo
Kikosi cha Simba Queens leo saa tisa alasiri kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yei Joints Stars kutoka Sudan Kusini katika mchezo wa mwisho
Kikosi cha Queens kitakachoikabili Yei Joints Leo
Kikosi cha Simba Queens leo saa tisa alasiri kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yei Joints Stars kutoka Sudan Kusini katika mchezo wa mwisho
Tunashuka kwa Mkapa Leo kuikabili Kagera
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kucheza mchezo wa pili wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar.
Queens Kamili dhidi ya Wasudan CECAFA
Kikosi chetu cha Simba Queens kipo tayari kwa mchezo wa kesho wa kukamilisha hatua ya makundi ya klabu bingwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati