read
news & Articles
Rais Samia awapongeza Simba Queens
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan ameipongeza timu yetu ya Simba Queens baada ya kutwaa ubingwa wa Ukanda wa Afrika
Queens mabingwa CECAFA
Timu yetu ya Simba Queens imetawazwa Mabingwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati CECAFA baada ya kuifunga SHE Corporates kutoka Uganda bao moja katika mchezo
Timu yafanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Kotoko kesho
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya mwisho usiku huu katika Uwanja wa Al Hilal kujiandaa na mchezo wa kesho dhidi ya Asante Kotoko kutoka Ghana.
Kikosi cha Queens kitakachotuwakilisha dhidi ya SHE Corporates
Timu yetu ya Simba Queens leo saa moja usiku itashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili SHE Corporates ya Uganda katika mchezo wa fainali ya
Safari ya Queens hadi fainali
Timu yetu ya Simba Queens leo saa moja usiku itashuka katika Uwanja wa Azam Complex kucheza Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ukanda wa Afrika Mashariki
Queens iko tayari kwa Fainali ya CECAFA kesho
Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian Nkoma amesema kikosi chake kiko tayari kwa ajili ya mchezo wa Fainali ya Michuano ya CECAFA dhidi ya SHE