read
news & Articles
Matola: Tupo tayari kwa KMC Kesho
Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola, amesema kikosi kipo kamili tayari kwa mchezo wetu wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa saa
Taarifa kwa Umma
Klabu yetu imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi Zoran Maki. Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mikataba ya
Timu yaingia Kambini kujiandaa na KMC
Kikosi chetu leo kimengia kambini rasmi kujiandaa na mchezo wa tatu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa Jumatano Uwanja wa Benjamin Mkapa
Chama Mchezaji Bora wa Mashabiki Agosti
Kiungo mshambuliaji Clatous Chama, amechaguliwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Agosti (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Chama amewashinda viungo wenzake
Mangungu aongoza Wanasimba kumuaga Dk. Gembe
Mwenyekiti wa Klabu Upande wa Wanachama, Murtaza Mangungu amewaongoza wanachama, wapenzi na mashabiki kuaga mwili wa aliyekuwa daktari wa timu yetu Yassin Gembe aliyefariki dunia
Tumepoteza mbele ya Arta Solar 7
Mchezo wetu wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Arta Solar 7 kutoka Djibouti uliopigwa Uwanja wa Uhuru umemalizika kwa kupoteza kwa bao moja. Mchezo huo