read
news & Articles
Mzamiru afunguka mipango ya Afrika
Kiungo mkabaji Mzamiru Yassin, amesema kwa sasa malengo yetu ni kuhakikisha tunashinda mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi Premeiro De Agosto Jumapili
Mgunda: Maandalizi ya De Agosto yamekamilika asilimia 80
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto kutoka Angola utakaopigwa Jumapili katika
Ahmed: Tumeshinda Angola, hatujafuzu
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema licha ya kufanikiwa kupata ushindi mnono katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya
Timu Kuingia Kambini Kujiandaa na De Agosto
Kikosi chetu leo kitaingia kambini baada ya mazoezi ya jioni kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto
Hivi hapa viingilio vya mechi ya marudiano dhidi ya De Agosto
Uongozi wa klabu umeweka hadharani viingilio vya mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Premiero De Agosto utakaopigwa Jumapili katika Uwanja
Timu yatua salama Dar
Kikosi chetu kimerejea salama jijini Dar es Salaam kutoka nchini Angola baada ya mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya