read
news & Articles

Tupo tayari kuikabili JKT Tanzania Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kuikabili JKT Tanzania katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia kwenye

Mo aongoza kikao cha Bodi ya Wakurugenzi Dar
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mohamed Dewji ‘Mo’ leo ameongoza kikao cha Bodi ya Wakurugenzi ambacho lengo lake ni kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo ya

Matola: Tumejiandaa kucheza vizuri mechi za mwisho
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema wachezaji wetu wameandaliwa kimwili na kiakili kucheza mechi hizi za mwisho wakati ligi ikiwa inaelekea ukingoni. Matola amesema ligi inapokuwa

Tumechukua alama zote za Mashujaa KMC Complex
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa katika Uwanja wa KMC

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mashujaa FC Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu Fadlu

Timu ipo kamili Kuivaa Mashujaa Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao tunategemea utakuwa