read
news & Articles
Mo Assurance yaingia mkataba wa bima ya afya na Klabu
Kampuni ya Bima ya Mo Assurance imeingia mkataba wa miaka miwili ya kugharamia huduma za afya kwa wafanyakazi wote wa klabu sanjari na kutoa kitita
Queens yafanya mazoezi ya kwanza Morocco
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya kwanza tangu kiwasili nchini Morocco leo jioni katika Uwanja wa Academia Fus Rabat. Baada ya timu kufika Morocco jana jioni
Tumepoteza Derby ya Mzizima
Mchezo wetu wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Azam FC ‘Mzizima Derby’ uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa kupoteza bao moja. Mchezo ulianza
Queens yapata mapokezi mazuri Morocco
Shirikisho la Soka nchini Morocco (FRMF) limetupatia mapokezi mazuri tangu tuwasili nchini hapa jana kwa ajili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Hayo yamethibitishwa
Tupo kamili kwa Mzizima Derby leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ‘Mzizima Derby’ utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Mgunda: Tuko timamu kwa Azam kesho
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC yamekamilika na wachezaji wako kwenye