read
news & Articles
Queens yafanya mazoezi ya mwisho
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Academia Fus Rabat kujiandaa na mchezo wa pili Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Determine Girls
Alichosema Kocha Lukula kuelekea mchezo dhidi ya Determine
Kocha Mkuu, Charles Lukula amesema wachezaji wapo kwenye hali nzuri kuelekea mchezo wetu wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Determine Girls kutoka
Queens yarejea mazoezini kujiandaa na Determine
Kikosi chetu leo jioni kimefanya mazoezi katika Uwanja wa Academia Fus Rabat kujiandaa na mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Determine
Onyango, Mzamiru, Okrah wachuana Tuzo Mchezaji Bora Oktoba
Nyota wetu watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kutafuta mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month. Wachezaji
Tumepoteza mbele ya wenyeji ASFAR
Timu yetu ya Simba Queens imepoteza kwa bao moja dhidi ya wenyeji ASFAR FC ya Morocco katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo ulianza
Tumechukua tatu muhimu kwa Mtibwa
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.