read
news & Articles
Timu kuifuata Green Buffaloes jijini Marrakech kesho
Kikosi chetu kitaondoka kesho saa tatu asubuhi kuelekea Marrakech ambapo mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya
Mzamiru Mchezaji Bora wa Emirate Oktoba
Kiungo mkabaji Mzamiru Yassin, amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki mwezi Oktoba (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Mzamiru amewashinda kiungo mshambuliaji, Augustine
Lukula afunguka siri ya ushindi
Kocha Mkuu Charles Lukula, amesema kilichofanikisha ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Determine Girls ni kuwajenga kisaikolojia baada ya kucheza kwa presha kipindi cha kwanza.
Pambani Mchezaji bora wa mechi
Kiungo mshambuliaji Pambani Kuzoya amechaguliwa mchezaji bora wa mechi yetu dhidi ya Determine Girls kutoka Libya katika mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Queens yang’ara Morocco
Kikosi chetu cha Simba Queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Determine Girls kutoka Liberia katika mchezo wa pili wa Ligi ya
Timu yarejea mazoezini
Baada ya mapumziko ya siku mbili kikosi chetu kimefanya mazoezi leo katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC