Habari Picha: Mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Polisi Kesho

Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho Gym kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigiwa Uwanja wa Azam Complex kesho saa moja usiku.

Tazama picha za matukio mbalimbali wakati wachezaji walivyokuwa wakifanya mazoezi hayo.

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER