read
news & Articles
Tupo Sokoine leo kuikabili Mbeya City
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Sokoine saa 10 jioni kuikabili Mbeya City katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia katika mchezo wa
Alichosema Mgunda kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Mbeya City
Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaopigwa Uwanja wa Sokoine yamekamilika na
Timu kuondoka usiku kuifuata Mbeya City
Kikosi chetu kitaondoka leo saa tano usiku kuelekea jijini Mbeya tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaopigwa Jumatano saa
Bocco: Jambo kubwa ni kuisaidia timu kwanza
Baada ya kufunga mabao matatu ‘hat trick’ kwenye ushindi 4-0 dhidi ya Ruvu Shooting jana, Nahodha John Bocco amesema kitu cha kwanza ni kuisaidia timu
Mgunda: Ushindi huu wetu sote
Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema ushindi wa mabao 4-0 tuliopata dhidi ya Ruvu Shooting ni wetu sote benchi la ufundi, wachezaji pamoja na mashabiki. Mgunda
Bocco arejea na ‘Hat trick’ dhidi ya Ruvu
Nahodha John Bocco amefunga mabao matatu ‘hat trick’ katika ushindi wa 4-0 tuliyopata dhidi ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa