read
news & Articles
Uchaguzi Mkuu Januari 29
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Boniface Lihamwike ametangaza rasmi Januari 29, 2023 kuwa ndio itakuwa tarehe ya uchaguzi mkuu wa klabu. Lihamwike amesema Uchaguzi wa
Mgunda: Tupo Tayari Kupambana na Polisi kesho
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema kikosi kiko tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigwa Uwanja
Timu yatua salama Kilimanjaro
Kikosi chetu kimewasili salama mkoani Kilimanjaro tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigwa Jumapili katika Uwanja wa Ushirika. Baada
Mgunda: Sare ni sehemu ya mpira
Kocha Mkuu Juma Mgunda, ameweka wazi kuwa kutoka sare ni sehemu ya mpira na hawezi kumtupia lawama mchezaji mmoja mmoja. Mgunda amekiri kuwa safu yetu
Tumegawana pointi Sokoine
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City uliopigwa Uwanja wa Sokoine umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja. Kiungo mkabaji Mzamiru
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mbeya City leo
Nahodha John Bocco ataendelea kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaopigwa Uwanja wa Sokoine saa