read
news & Articles
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kaitaba
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Kaitaba tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar. Kikosi
Mgunda: Tuko tayari kwa Kagera kesho
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa kesho saa moja usiku katika Uwanja wa
Queens, Yanga Princess kupigwa kwa Mkapa Alhamisi
Mchezo dhidi ya watani wa wetu wa jadi Yanga Princess wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) ambao awali ulikuwa
Timu yawasili salama Kagera
Kikosi chetu kimewasili salama mchana huu mkoani Kagera tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Jumatano saa moja usiku
Mgunda akabidhiwa tuzo yake CCM Kirumba
Kocha Mkuu Juma Mgunda amekabidhiwa tuzo ya kocha bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Novemba muda mfupi kabla ya kuanza mchezo wetu dhidi ya
Mgunda: Mpira ni mchezo wa makosa, Geita sio timu mbovu
Licha ya kufanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-0 kocha Juma Mgunda ameisifu Geita Gold na kusema ni timu nzuri na imetupa ushindani mkubwa.