read
news & Articles
Kikosi cha Queens kitakachoshuka dimbani kuikabili Yanga Princess
Kikosi chetu cha Simba Queens leo saa 11 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga Princess katika mchezo wa Ligi ya Wanawake (Serengeti
Mgunda: Ya Kagera yamepita tunaganga yajayo
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema mchezo dhidi ya Kagera Sugar umepita sasa tunajipanga kwa mechi iliyo mbele yetu. Mgunda amesema baada ya leo tuna siku
Tumegawana pointi Kaitaba
Kikosi chetu kimepata alama moja baada ya kupata sare ya kufungana bao moja dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa
Kikosi Kitakachotuwakilisha dhidi ya Kagera leo
Kama kawaida Kocha Mkuu Juma Mgunda ameendelea kuamini katika washambuliaji wawili baada ya kuwapanga Nahodha John Bocco na Moses Phiri kuongoza mashambulizi katika mchezo
Lukula: Mechi na Yanga ni kama fainali, ni Derby ya makocha
Kocha Mkuu Charles Lukula, amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) dhidi ya Yanga Princess utakuwa
Tuko Kaitaba leo kuikabili Kagera Sugar
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Kaitaba kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC saa utakaopigwa moja usiku. Maandalizi ya mchezo