read
news & Articles
Inonga bado yupo sana Simba
Uongozi wa klabu umefikia makubaliano ya kuongeza mkataba mpya wa miaka miwili na mlinzi wa kati, Henock Inonga Baka ambao utamuweka klabuni hadi mwaka 2025
Kauli ya Mgunda kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya KMC
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC yamekamilika na wachezaji wapo tayari kwa mpambano.
Ntibazonkiza ni Mnyama
Uongozi wa klabu unatangaza kufikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Saidi Ntibazonkiza kutoka Geita Gold Fc kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu. Ntibazonkiza raia
Phiri nje wiki moja
Majibu ya vipimo vya MRI na X ray aliyofanyiwa mshambuliaji wetu kinara Moses Phiri yamekamilika na imeonekana ameumia. Kwa majibu hayo Phiri atakuwa nje ya
Timu yafanya mazoezi mepesi Nyamagana
Kikosi chetu leo jioni kimefanya mazoezi mepesi ya utimamu wa mwili katika Uwanja wa Nyamagana baada ya kurejea kutoka mkoani Kagera. Kikosi kimefika jijini Mwanza
Queens, Yanga Princess hakuna mbabe
Timu yetu ya Simba Queens imetoka sare ya bao moja na watani wetu Yanga Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti