read
news & Articles
Mgunda: Tuko tayari kwa Prisons kesho
Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa kesho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa
Timu yarejea Dar, Wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam kutoka Mwanza baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya KMC katika Uwanja wa CCM
Mgunda: Wachezaji walifuata maelekezo tuliyowapa
Kocha Mkuu Juma Mgunda ameweka wazi kuwa ushindi wa mabao 3-1 tuliopata dhidi ya KMC katika Uwanja wa CCM Kirumba umetokana na wachezaji kufuata maelekezo
Tumepata pointi tatu kwa KMC Kirumba
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa CCM Kirumba. Nahodha
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya KMC Leo
Nahodha John Bocco ataendelea kuongoza safu ya ushambuliaji katika mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigiwa leo saa 10 jioni
Tupo Kamili kuwakabili KMC Kirumba leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa CCM Kirumba kuikabili KMC katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Maandalizi ya mchezo yamekamilika