read
news & Articles

Tupo tayari kwa Ngao ya Jamii Tanga
Kikosi chetu kesho saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani kuikabili Singida Fountain Gate FC katika mchezo wa pili wa Ngao ya Jamii.

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountain Gate utakaopigwa

Tunaanza na Mtibwa Sugar NBCPL 2023/24
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza ratiba kamili ya Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2023/24 ambayo itaanza kutimua vumbi Agosti 15. Katika ratiba

Robertinho afurahia Hali ya Kikosi
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na wachezaji wetu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Power Dynamos kwenye kilele cha

Tumekamilisha Simba Day kwa Ushindi
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia katika mchezo wa kilele cha Simba Day uliofanyika Uwanja wa

Kikosi kilichopangwa kuikabili Power Dynamos
Baada ya shamrashamra, shangwe na utambulisho wa wachezaji kinachofuata ni mchezo wa kirafiki kimataifa dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia. Tayari Kocha Mkuu, Roberto Oliviera
