read

news & Articles

Tupo tayari kwa Ngao ya Jamii Tanga

Kikosi chetu kesho saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani kuikabili Singida Fountain Gate FC katika mchezo wa pili wa Ngao ya Jamii.

Robertinho afurahia Hali ya Kikosi

Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na wachezaji wetu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Power Dynamos kwenye kilele cha

Tumekamilisha Simba Day kwa Ushindi

Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia katika mchezo wa kilele cha Simba Day uliofanyika Uwanja wa

Kikosi kilichopangwa kuikabili Power Dynamos

Baada ya shamrashamra, shangwe na utambulisho wa wachezaji kinachofuata ni mchezo wa kirafiki kimataifa dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia. Tayari Kocha Mkuu, Roberto Oliviera

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC