read
news & Articles
Kauli ya Mgunda kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Mbeya City
Kocha Msaidizi Juma Mgunda amesema maandalizi ya mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaopigwa kesho saa moja usiku katika
Ahmed: Kambi ya Dubai ilikuwa ya mafanikio
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amesema kambi ya siku ya nane tuliyofanya Mjini Dubai imekuwa na mafanikio kwa kuwa Kocha Mkuu Roberto Oliviera ‘Robertinho’
Viingilio vya mchezo wetu dhidi ya Mbeya City
Viingilio vya mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City tayari vimetangazwa ambapo kiingilio cha chini itakuwa Sh 5,000. Mchezo huo wa
Mohamed Mussa ni Mnyama
Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji Mohamed Mussa kutoka Malindi ya Zanzibar. Mussa ambaye mbali na kucheza kama mshambuliaji pia anamudu
Baleke ni Mnyama
Uongozi wa Klabu ya Simba unatangaza kukamilisha usajili mshambuliaji wa kati Jean Othos Baleke raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo kwa mkataba wa miaka miwili
Tumetoshana nguvu na CSKA Moscow
Mchezo wetu wa pili wa kirafiki dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi uliopigwa katika Mji wa Abu Dhabi umemalizika kwa sare ya mabao 2-2.