read
news & Articles

Ally Salim Aibuka Shujaa Mkwakwani
Mlinda mlango, Ally Salim ameibuka Shujaa wakati tukinyakua Ngao ya Jamii kwa mikwaju ya 3-1 dhidi ya watani wa jadi Yanga baada ya kuokoa tatu

Kikosi Kilichopangwa kucheza dhidi ya Yanga
Saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga kuikabili Yanga kwenye mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii. Hiki hapa

Tupo tayari kwa fainali Ngao ya Jamii
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani kuikabili Yanga kwenye mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii. Kikosi kimefanya mazoezi

Timu yafanya mazoezi ya mwisho tayari kwa Derby
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Kituo cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) jioni tayari kwa mchezo wa Fainali ya Ngao ya Jamii dhidi

Lakred ni Mnyama
Mlinda mlango, Ayoub Lakred (28) raia wa Morocco amejiunga na kikosi chetu kutoka FAR Rabat kwa mkataba wa miaka miwili. Lakred ambaye ni mlinda mlango

Robertinho asema lolote linawezekana kwenye Derby
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema mchezo wa ‘Deby’ hautabiliki na lolote linawezekana lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda kesho. Robertinho amesema Simba ni timu kubwa na
