read

news & Articles

Preview: Horoya vs Simba CAFCL

Baada ya kupita takribani miezi minne kasoro wiki moja tangu tulivyocheza mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika leo tunacheza ugenini dhidi ya Horoya

Kikosi chafanyiwa vipimo vya Covid -19

Kikosi chetu leo asubuhi kimefanyiwa vipimo vya Covid-19 ili kutambua hali zao za kiafya kuhusu ugonjwa huo ikiwa ni sehemu ya kuchukua tahadhari. Shirikisho la

Ahmed aeleza hali ya kikosi nchini Guinea

Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amesema kikosi kimewasili salama nchini Guinea jana saa 11 jioni na kila kitu kinakwenda sawa kuelekea mchezo wa kwanza

Timu yawasili salama Guinea

Kikosi chetu kimewasili salama nchini Guinea saa 11 jioni ambapo nyumbani Tanzania ni saa mbili usiku tayari kwa mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC