read
news & Articles

Timu kuingia Kambini Kesho kujiandaa dhidi ya Yanga
Kikosi chetu kitaingia kambini kesho kuanza maandalizi ya mchezo wa mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumapili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Hivi hapa viingilio vya mchezo wa Simba, Yanga
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally ametangaza viingilio vya mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya watani wetu Yanga utakaopigwa Jumapili, Novemba 5

Ahmed: Tumedhamiria kuwafunga Yanga Jumapili
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amesema dhamira yetu nikuhakikisha tunapata ushindi katika mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga utakaopigwa Uwanja wa Benjamin

Mo ateua Wajumbe wa Baraza la Bodi ya Ushauri wa klabu
Rais wa heshima wa klabu, Mohamed Dewji ‘Mo’ amefanya uteuzi wa wajumbe 21 wa Baraza la Ushauri wa klabu kwa ajili ya maendeleo. Moja ya

Robertinho: Haikuwa rahisi kuifunga Ihefu
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahia ushindi wa mabao 2-1 tuliopata dhidi ya Ihefu kutokana na mchezo kuwa mgumu. Robertinho amesema ratiba imekuwa ngumu sababu

Tumechukua Pointi tatu za Ihefu
Timu yetu imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.