read
news & Articles
Mo awatembelea wachezaji kambini
Rais wa Heshima na muwekazaji wa klabu, Mohamed Dewji ‘Mo’ amewatembelea wachezaji kambini kwa ajili ya kuwapa hamasa kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi ya
Robertinho: Tumejiandaa kwa ushindi dhidi ya Raja Kesho
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema licha ya ukubwa na historia iliyonayo Raja Casablanca katika soka la Afrika lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata ushindi katika mchezo
Kampeni ya Hamasa kuelekea mchezo dhidi ya Raja yaingia siku ya pili
Leo tumeendelea na kampeni ya kuhamasisha mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani Jumamosi katika mchezo wetu wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa
Timu yaingia kambini rasmi kujiandaa na Raja
Kikosi chetu kimeingia kambini rasmi leo kujiandaa na mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca utakaopigwa Jumamosi katika
Kauli za Viongozi Kampeni ya hamasa kuelekea mchezo dhidi ya Raja Jumamosi
Uzinduzi wa kampeni kampeni ya hamasa kuelekea mchezo wetu wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ya
Ahmed aelezea utaratibu mzima mchezo dhidi ya Raja Casablanca
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema baada ya kikosi kuwasili kutoka Guinea alfajiri ya leo wachezaji wameingia kambini moja kwa moja kuajindaa