read
news & Articles
Preview: Mchezo wetu dhidi ya Vipers
Leo saa moja usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kikosi chetu kitaikabili Vipers kwenye mchezo wa nne wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi.
Kauli ya Robertinho kuelekea mchezo wa Kesho dhidi ya Vipers
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema tumepata wiki moja maandalizi ya mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Vipers utakaopigwa Kesho
Ahmed: Jumanne iwe mvua iwe jua ushindi lazima kwa Mkapa
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema hakuna jambo jingine tunalihitaji zaidi ya ushindi katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika
Tundaman anogesha Wenye Nchi Beach Party
Msanii wa Bongo Fleva na Mwanasimba mwenzetu, Tundaman ameibua shangwe la Wenye Nchi Beach Party baada ya kufika na kuanza kuimba pamoja na kucheza na
Timu yaendelea na mazoezi Mo Arena
Timu yetu imeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Vipers utakaopigwa Jumanne. Kikosi
Jumapili tunakuja na ‘Wenye Nchi Beach Party’
Baada ya kutumia njia mbalimbali za hamasa kuelekea mechi zetu za Ligi ya Mabingwa Afrika safari hii tumekuja tofauti Jumapili tutakuwa Coco Beach na itakuwa