read

news & Articles

Timu yafika salama Morocco

Kikosi chetu kimewasili salama nchini Morocco tayari kwa mchezo wa kesho wa marudiano wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca

Kikosi chaanza safari kuelekea Morocco

Baada ya jana kushindwa kusafiri leo asubuhi kikosi chetu kimeanza safari ya kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi

Kapombe, Zimbwe Jr waongezwa Stars

Walinzi wetu wawili wa pembeni, Shomari Kapombe na Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ wameongezwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayojiandaa na

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC