read
news & Articles
Timu yarejea salama Dar, wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi chetu kimerejea salama jijini Dar es Salaam kutoka Morocco baada ya kumaliza mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Chama Mchezaji bora wa mashabiki Machi
Kiungo mshambuliaji, Clatous Chama amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Chama amewashinda mlinda mlango,
Robertinho: Simba ijayo itakuwa imara zaidi
Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema baada ya muda wa miezi minne aliyokaa na timu anaamini katika siku za baadae tutakuwa na kikosi imara. Robertinho
Tumepoteza ugenini mbele ya Raja
Mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca uliopigwa katika Uwanja wa Mfalme Mohamed wa tano
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Raja Leo
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Mohamed wa Tano kuikabili Raja Casablanca saa saba usiku kwa saa za Tanzania katika mchezo wa mwisho wa hatua
Preview: Mchezo wetu wa mwisho wa makundi dhidi ya Raja
Kikosi chetu leo saa nne usiku kwa saa za Morocco kitashuka katika Uwanja wa Mohamed wa tano kuikabili Raja Casablanca katika mchezo wa mwisho wa