read
news & Articles
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Ihefu Leo
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Ihefu FC katika mchezo wa Robo Fainali ya Azam Sports Federation (ASFC).
Mechi yetu dhidi ya Ihefu kupigwa kesho saa moja usiku Chamazi
Mchezo wetu wa Robo Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Ihefu FC utafanyika kesho saa moja usiku katika Uwanja wa Azam Complex,
Kauli ya Robertinho kuelekea mchezo wa Kesho dhidi ya Ihefu
Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa Robo Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Ihefu FC utakaopigwa
Chama akabidhiwa tuzo yake ya Emirate
Kiungo mshambuliaji, Clatous Chama amekabidhiwa tuzo yake mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi kutoka kwa wadhamini Emirate Aluminium Profile. Katika mwezi Machi, Chama amecheza
Tumepangwa na Waydad Robo Fainali Ligi ya Mabingwa
Droo ya upangaji wa hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekamilika na tumepangwa na Waydad Casablanca kutoka Morocco. Droo hii
Timu yaendelea na mazoezi Mo Arena kujiandaa na Ihefu
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa Robo Fainali ya Azam Sports Federation (ASFC) dhidi ya Ihefu FC yaliyofanyika kwenye Uwanja wetu