read
news & Articles

Tumepata sare ugenini
Mchezo wetu wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy uliopigwa Uwanja wa Obeid Ituni Chilume nchini Botswana

Kikosi chetu kitakachotuwakilisha dhidi ya Jwaneng Galaxy
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Obeid Ituni Chilume kuibali Jwaneng Galaxy katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya

Tupo Obeid Ituni Chilume Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Obeid Ituni Chilume kuibali Jwaneng Galaxy katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya

Queens yaichapa Ilala
Timu yetu ya Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Ilala Queens katika mchezo wa kirafiki iliyofanyika Uwanja wa Veterani uliopo

Timu yatua salama Botswana
Kikosi chetu kimewasili salama nchini Botswana tayari kwa mchezo wa kesho wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy utakaopigwa

Nyota 20 watakaosafiri kuifuata Jwaneng Botswana
Kikosi chetu kitaondoka kesho alfajiri kuelekea Botswana tayari kwa ajili ya mchezo wa pili hatua ya makundi dhidi ya Jwaneng Galaxy utakaopigwa Jumamosi katika Uwanja
