read
news & Articles
Mashabiki wajitokeza JNIA kuwalaki wachezaji
Licha ya kushindwa kufuzu nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mamia ya mashabiki wetu wamejitokeza Uwanja wa Ndege wa Kimaitaifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA)
Baleke, Kibu, Ally wachuana Mchezaji bora Aprili
Wachezaji wetu watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kumtafuta mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Aprili (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month).
Timu yaanza safari ya kurejea nyumbani
Baada ya mchezo wa jana dhidi ya Wydad Casablanca kikosi chetu kimeanza safari ya kurejea nyumbani kuendelea na ratiba nyingine. Kikosi kimewasili Uwanja wa Ndege
Tumetolewa kwa mikwaju ya penati Morocco
Safari yetu ya Ligi ya Mabingwa imefikia tamati baada ya kutolewa kwa mikwaju ya penati 4-3 na Wydad Casablanca katika mchezo wa marudiano uliopigwa uwanja
Kikosi kitakacho tuwakilisha dhidi ya Wydad
Kikosi chetu leo saa nne usiku kitashuka katika Uwanja wa Mohamed wa V kuikabili Wydad Casablanca kutoka Morocco katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali
Tabiri Kikosi kitakachocheza dhidi ya Wydad Leo
Kikosi chetu leo saa nne usiku kitashuka katika Uwanja wa Mohamed wa V kuikabili Wydad Casablanca kutoka Morocco katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali