read
news & Articles

Nyota watano waliocheza dakika nyingi NBCPL
Ligi Kuu ya NBC imesimama kwa takribani wiki tatu kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza leo Visiwani Zanzibar. Wakati Ligi ikiwa imesimama tayari tumecheza

Timu yarejea mazoezini kujiandaa na Mapinduzi Cup
Kikosi chetu leo kimerejea mazoezini kuanza maandalizi ya michuano ya Mapinduzi ambayo yanaanza Disemba 28 mpaka Januari 13 Visiwani Zanzibar. Baada ya mchezo dhidi ya

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mbweni
Kikosi chetu cha Simba Queens kesho saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Baobab Queens kutoka Dodoma katika mchezo wa pili wa

Tumeteuliwa kufuzu Kombe la Dunia la klabu 2025
Klabu yetu imeteuliwa kuwa miongoni mwa timu 12 zinazowania kushiriki mashindano mapya ya klabu bingwa ya dunia yatakayofanyika Nchini Marekani mwaka 2025. Kwa mujibu wa

Tumepata sare na KMC
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC uliopigwa Uwanja wa Azam Complex umemalizika kwa sare ya kufungana mabao 2-2. Mchezo huo ulikuwa

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya KMC
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu Abdelhak
