read

news & Articles

Kennedy, Israel wajiunga na timu Zanzibar

Wachezaji Kennedy Juma na Israel Patrick wamejiunga na kikosi baada ya kurejea kutoka katika kambi ya timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kilichosafiri jana

Tutaanza Kutangaza Utalii wa Zanzibar

Leo tumetangaza kuanza kutangaza vivutio vya Utalii wa Zanzibar kupitia kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea. Mtendaji Mkuu wa Klabu, Imani Kajula amesema kama

Benchikha hajaridhishwa na kiwango

Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha ameweka wazi kuwa hajaridhishwa na kiwango kilichoonyeshwa na kikosi chetu licha ya kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya

Tumeanza kwa Pointi tatu Mapinduzi Cup

Mchezo wetu wa kwanza wa michuano ya Mapinduzi tuliocheza dhidi ya JKU katika Uwanja wa New Amaan Complex umemalizika kwa ushindi wa mabao 3-1. Moses

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC