read
news & Articles
Timu yarejea Dar
Kikosi chetu kimerejea leo jijini Dar es Salaam kikitokea mkoani Mtwara baada ya mchezo wa nusu fainali ya Azam Sports Federation Cup uliopigwa jana Uwanja
Tumetolewa na Azam Nusu Fainali ASFC
Mchezo wetu wa nusu fainali ya Azam Sports Federation dhidi ya Azam FC umemalizika kwa kupoteza kwa mabao 2-1 katika mtanange uliopigwa Uwanja wa Nangwanda
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Azam Leo
Kikosi chetu leo saa 9:30 Alasiri kitashuka katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara kuikabili Azam FC katika mchezo wa nusu fainali ya Azam Sports
Tulipotoka hadi kufika Nusu Fainali ASFC
Kikosi chetu leo saa 9:30 Alasiri kitashuka katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona kuikabili Azam FC katika mchezo wa nusu fainali ya Azam Sports Federation Cup
Timu yafanya mazoezi ya mwisho TTC Mtwara
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho leo jioni katika Uwanja wa TTC Mtwara tayari kwa mchezo wa kesho wa nusu fainali ya Azam Sports Federation
Mgunda: Tupo tayari kwa Azam Kesho
Kocha msaidizi, Juma Mgunda amesema maandalizi ya mchezo wa nusu fainali ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya Azam FC utakaopigiwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona