read
news & Articles
Preview: Mchezo wetu dhidi ya Ruvu Shooting
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi kuikabili Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi kuu ya NBC. Ingawa Ruvu
Alichosema Ally Salim baada ya kukabidhiwa tuzo yake ya Aprili
Mlinda mlango, Ally Salim amewashukuru wachezaji wenzake pmaoja na mashabiki kwa kumuwezesha kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Aprili (Emirate Aluminium Simba
Robertinho: Tumejipanga kucheza vizuri na kupata ushindi
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema katika mechi zetu tatu za ligi zilizosalia tumejiandaa kucheza vizuri na kupata ushindi mnono. Robertinho amesema Simba ni timu
Timu yaendelea na Mazoezi Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi asubuhi katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa
Queens yaibuka mshindi mbele ya Baobab
Kikosi chetu cha Simba Queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Baobab Queens katika mchezo wa Ligi ya Wanawake ya Serengeti Lite
Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Baobab Queens
Leo saa 10 jioni kikosi cha Simba Queens kitashuka katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kuikabili Baobab Queens katika mchezo wa ligi ya Wanawake ya