read
news & Articles
Nyota wa Queens wanaowania tuzo za SLWPL 2022/23
Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imeweka hadharani majina ya wachezaji na makocha wanaowania tuzo za Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite Women’s Premier League
Hawa hapa nyota wetu wanaowania tuzo za NBC 2022/23
Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imetangaza majina ya wachezaji wanaowania tuzo mbalimbali wakati msimu huu wa Ligi Kuu ya NBC 2022/23 ukielekea ukingoni. Tumetoa wachezaji
Mchezo dhidi ya Polisi kupigwa Jumatano Chamazi
Bodi ya Ligi imetangaza mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania utapigwa Jumatano Mei 24, saa moja usiku katika Uwanja wa
Queens yafunga msimu kwa ushindi Iringa
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Ceasiaa Queens katika mchezo wa mwisho wa Ligi ya Wanawake Serengeti Lite Women’s Premier
Timu yarejea mazoezini
Baada ya mapumziko ya siku nne waliopewa wachezaji leo asubuhi kikosi chetu kimerejea mazoezini kujiandaa na mechi mbili za Ligi Kuu ya NBC zilizosalia. Mazoezi
LIVE: Ceasiaa Queens vs Simba Queens
Fuatilia Mubashara kupitia App hii mchezo wa mwisho wa Ligi ya Wanawake ya Serengeti Lite Women’s Premier League kati yetu na Ceasiaa Queens utakaopigwa Uwanja