Tumepata pointi tatu za Geita Kirumba

Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Geita Gold umemalizika kwa kufanikiwa kupata ushindi wa bao moja katika mtanange uliopigwa Uwanja wa CCM Kirumba.

Mpira ulianza kwa kasi huku tukishambulia kwa kasi huku tukitengeneza nafasi kadhaa lakini tulishindwa kuzitumia

Kipindi cha pili tulirudi kwa kasi huku Geita wakirudi nyuma muda na kufanya mashambulizi machache ya kushtukiza.

Babacar Sarr alitupatia bao la ushindi dakika ya 81 baada ya kumalizia mpira wa kichwa uliopigwa na Kibu Denis.

X1: Constantine, Mwaita, Mligo, Muha, Mahamud, Onditi, Julius, Ulaya (Dunia 69′), Kapera, Chikola, Edmund

Walioonyeshwa kadi: Ulaya 21′ Onditi 60′

X1: Manula, Kapombe, Zimbwe Jr, Kennedy, Che Malone, Ngoma, Kibu (Israel 90+3) Mzamiru (Ntibazonkiza 45′), Jobe (Fred 66′), Kanoute (Sarr 66′), Chama (Miqussone 66′)

Walioonyeshwa kadi: Kennedy 73′

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER