read
news & Articles
Kwaheri Augustine Okrah
Uongozi wa klabu unatangaza rasmi kuachana na kiungo wetu mshambuliaji Augustine Okrah baada ya kumalizika Msimu wa mashindano wa 2022/23. Okrah raia wa Ghana amemaliza
Timu yarejea kujiandaa na Polisi, Coastal
Baada ya mapumziko ya siku kadhaa timu imerejea mazoezini kujiandaa na mechi mbili zilizozalia za kukamilisha msimu wa Ligi Kuu 2022/23. Mazoezi hayo yamefanyika katika
Rweyemamu, Matola warejeshwa timu za Vijana
Mtendaji Mkuu wa klabu, Imani Kajula amemtangaza Patrick Rweyemamu kuwa Mkuu wa Programu za soka la vijana katika klabu na Seleman Matola kuwa kocha mkuu.
Manula aenda Afrika Kusini kwa matibabu
Mlinda mlango namba moja Aishi Manula ameondoka nchini leo kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu ya nyama za paja. Manula alipata majeraha katika mchezo
Mels Daalder Skauti Mkuu Simba
Uongozi wa klabu umemteua Mels Daalder Raia wa Uholanzi kuwa msaka vipaji (Skauti Mkuu) ambaye ana uzoefu wa kufanya skauti kwenye timu mbalimbali. Mels ameshiriki
Timu yarejea mazoezini
Baada ya mapumziko ya siku mbili wachezaji wamerejea mazoezini kujiandaa na mechi mbili zilizozalia za Ligi Kuu ya NBC. Mazoezi hayo yamefanyika katika Uwanja wetu