read
news & Articles

Timu yafanya mazoezi kujiandaa na TRA Kesho
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa hatua ya 32 bora ya Azam Sports Federation

Jumamosi ni Vita ya Kisasi dhidi ya Jwaneng Galaxy
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally ametangaza kuwa kauli mbiu ya mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa

Timu yatua salama Dar es Salaam
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam kutoka nchini Ivory Coast baada ya mchezo wa tano wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa

Timu yaanza safari ya kurudi nyumbani
Kikosi chetu kimeanza safari ya kurejea nyumbani baada ya sare ya bila kufungana tuliopata juzi dhidi ya ASEC Mimosas katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa

Benchikha awapongeza wachezaji sare dhidi ya ASEC
Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha amewapongeza wachezaji kwa kucheza soka safi licha ya kupata sare ugenini dhidi ya ASEC Mimosas katika mchezo wa marudiano wa Ligi

Tumepata pointi moja Ivory Coast
Mchezo wetu wa hatua ya makundi ya Ligi Kuu ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas uliopigwa Uwanja wa Felix – Houphouet – Boigny umemalizika