read
news & Articles

Matola: Tupo tayari kwa Azam FC Kesho
Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakaopigwa

Mgosi: Tupo tayari kwa Geita Queens Kesho
Kocha Msaidizi wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Wanawake dhidi

Tumepata pointi tatu Ali Hassan Mwinyi
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa

Tupo Ali Hassan Mwinyi kuikabili Tabora Leo
Leo saa 10 jioni tunashuka katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kuikabili Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia katika mchezo wa

Mazoezi ya mwisho Ali Hassan Mwinyi
Kikosi kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United.

Kauli ya Kocha Matola kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Tabora
Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema wachezaji wapo kwenye hali nzuri kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United utakaopigwa katika
