read

news & Articles

VIDEO: Wachezaji waingia kwa Muziki Kambini

Katika kuonyesha kufurahia mazingira mazuri ya kambi wachezaji wetu wameingia kwa kucheza nyimbo katika Hoteli tuliyofikia hapa Ankara nchini Uturuki. Tazama hadi mwisho kuona jinsi

Timu yafika salama Uturuki

Baada ya kuanza safari kutoka Dar es Salaam jana saa 9:55 Alasiri kikosi chetu kimewasili salama Istanbul, Uturuki leo saa 7:30 mchana kwa saa za

Robertinho: Nimeridhika na kikosi nilichonacho

Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahishwa na usajili wa kikosi pamoja na benchi jipya la ufundi lililosukwa kuelekea msimu mashindano 2023/24. Robertinho amesema wachezaji wanaoendelea

Duchu arejeshwa tena Unyamani

Mlinzi wa kulia, David Kameta ‘Duchu’ amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu kuendelea kusalia katika kikosi chetu. Duchu tulimsajili kutoka Lipuli FC, Julai 2020 akatumikia

Zimbwe Jr aongezwa miaka miwili

Mlinzi wa kushoto, Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kubaki kikosini mpaka 2025. Zimbwe Jr ambaye ni nahodha msaidizi wa

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC