read
news & Articles
VIDEO: Meneja wa aelezea ratiba ya timu baada ya timu kufika Uturuki
Meneja wa timu, Mikael Igendia amesema baada ya kikosi kufika Ankara ambapo ndipo kambi yetu itakuwa ratiba ya mazoezi itaanza rasmi kesho. Igendia amesema programu
VIDEO: Wachezaji waingia kwa Muziki Kambini
Katika kuonyesha kufurahia mazingira mazuri ya kambi wachezaji wetu wameingia kwa kucheza nyimbo katika Hoteli tuliyofikia hapa Ankara nchini Uturuki. Tazama hadi mwisho kuona jinsi
Timu yafika salama Uturuki
Baada ya kuanza safari kutoka Dar es Salaam jana saa 9:55 Alasiri kikosi chetu kimewasili salama Istanbul, Uturuki leo saa 7:30 mchana kwa saa za
Robertinho: Nimeridhika na kikosi nilichonacho
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahishwa na usajili wa kikosi pamoja na benchi jipya la ufundi lililosukwa kuelekea msimu mashindano 2023/24. Robertinho amesema wachezaji wanaoendelea
Duchu arejeshwa tena Unyamani
Mlinzi wa kulia, David Kameta ‘Duchu’ amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu kuendelea kusalia katika kikosi chetu. Duchu tulimsajili kutoka Lipuli FC, Julai 2020 akatumikia
Zimbwe Jr aongezwa miaka miwili
Mlinzi wa kushoto, Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kubaki kikosini mpaka 2025. Zimbwe Jr ambaye ni nahodha msaidizi wa