read
news & Articles
Tumeshinda 2-0 Mchezo wa kwanza dhidi ya Turan PFK
Mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Turan Tovuz PFK ya Azerbaijan uliofanyika katika Uwanja wa Soğuksu Spor Kompleksi umemalizika kwa ushindi wa mabao
VIDEO: Robertinho azungumzia droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Baada ya kukamilika kupangwa kwa droo ya michuano Ligi ya Mabingwa Afrika mchana wa leo Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema jambo la muhimu ni
Wiki ya Simba ‘Unyama Mwingi’ kuzinduliwa Buza Agosti Mosi
Ni rasmi wiki ya Simba ambayo imepewa jina la ‘Unyama Mwingi’ itaanza Jumamosi Julai 29 ambapo shughuli mbalimbali za kijamii zitafanyika kama tunavyofanya tangu tulipoanza
Tutacheza na Power Dynamo Simba Day
Kama ilivyo ada kwenye kilele cha Simba Day ambacho kimedhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya sherehe na shamra shamra za utambulisho wa wachezaji huwa
Tumetoka sare na Zira FC
Mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Zira FC uliopigwa Uwanja wa Vonresort umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja. Mchezo ulianza kwa
Leo tunaanza mchezo wa kirafiki
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitacheza mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Zira FC ‘The Eagles’ utakaofanyika katika Uwanja wa Bolu hapa Uturuki.