read
news & Articles

Tunakwenda kucheza Robo Fainali ya nne ya Ligi ya Mabingwa Machi 29
Ijumaa ya Machi 29 kikosi chetu kitacheza mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly mtanange utakaopigwa Uwanja wa Benjamin

Tumezipata pointi tatu za Mashujaa Chamazi
Kikosi chetu kimefanikiwa kupata pointi tatu katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mashujaa FC uliopigwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Tulianza mchezo

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mashujaa
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kikosi chetu

Leo Tupo Azam Complex kuikabili Mashujaa
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia kwenye

Benchikha arejea, aongoza mazoezi ya mwisho
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amerejea nchini leo na jioni amekiongoza kikosi kwenye mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo wetu wa kesho wa Ligi Kuu ya

Matola: Ligi ni ngumu lakini tupo tayari kwa Mashujaa Kesho
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema wakati ligi ikiwa imeingia mzunguko wa pili kila timu inajipanga kuhakikisha inakusanya pointi ili kujiweka kwenye nafasi nzuri zaidi. Matola
