read
news & Articles
Ahsante Peter Banda
Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya pande mbili ya kuachana na Winga Peter Banda. Banda (23) alisajiliwa Agosti 3, mwaka 2021 kutoka Nyasa
Hizi hapa mechi zilizotupeleka makundi Afrika
Jana tumefahamu tutacheza na mabingwa wa Zambia Power Dynamos katika hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2023/24. Mechi ya kwanza itapigwa
Rasmi tutakutana na Power Dynamos hatua ya pili Ligi ya Mabingwa
Mabingwa wa Zambia, Power Dynamos tutakutana nao katika hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kufanikiwa kusonga mbele kwa kuitoa African Stars
Nyota wanne waliokipiga dakika 180
Tukiwa tumeanza Msimu Mpya wa Ligi Kuu ya NBC 2023/24, mpaka sasa tumecheza mechi mbili na kushinda zote. Mchezo wa kwanza ulikuwa dhidi ya Mtibwa
Highlights: Tazama mabao yote ushindi wa 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji
Tumefanikiwa kushindi mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uhuru, Dar es Salaam. Tazama hapa jinsi mabao yalivyofungwa
Robertinho: Tunaendelea kuwapa nafasi nyota wapya
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema nyota wapya tuliowasajili msimu huu wanazidi kupewa nafasi na wanaonyesha uwezo mkubwa ambapo wanaingia taratibu kikosini. Robertinho amesema wachezaji