read
news & Articles

Kauli ya Benchikha kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Al Ahly
Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly utakaopigwa

Ahmed awaita Wanambande Kwa Mkapa Ijumaa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amewaomba mashabiki wa maeneo ya Mbande, Kisewe na Chanika Mbondele kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamin

Timu yarejea kutoka Zanzibar
Kikosi chetu kimerejea kutoka Visiwani Zanzibar kilipoweka kambi ya siku chache kuelekea mchezo wetu wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al

Wanasimba tuendelee kununua tiketi
Zimebaki siku tano kuelekea mchezo wetu wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Machi 29 Uwanja wa Benjamin Mkapa

Queens yaichakaza Kinondoni Queens mechi ya kirafiki
Timu yetu ya Simba Queens imeibuka na ushindi mnono wa mabao 14-0 dhidi ya Kinondoni Queens katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Mo Simba

Ahmed amkabidhi Rais Karia ‘Uzi’ wa kuivaa dhidi ya Al Ahly
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amemkabidhi Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia jezi rasmi ambayo ataivaa katika mchezo wetu
