read
news & Articles
Phiri: Kusafiri na Mashabiki kwenda Ndola kunatupa hamasa wachezaji
Mshambuliaji, Moses Phiri amesema kitendo cha mashabiki kusafiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Ndola, Zambia itawapa wachezaji hamasa kuelekea mchezo wa Jumamosi wa Ligi
Tumepata ushindi dhidi ya Ngome
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 6-0 dhidi ya Ngome katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Mo Simba Arena. Moses Phiri
Waziri Mkuu Majaliwa atupongeza Bungeni kwa ajili ya michuano ya AFL
Waziri Mkuu, Mh. Kassim Majaliwa ametupongeza kuwa miongoni mwa klabu nane zitakazoshiriki michuano mipya ya African Football League (AFL) ambayo itaanza Oktoba 20. Mh. Majaliwa
Hongera Taifa Stars
Timu yetu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imefanikiwa kufuzu fainali za Afrika (AFCON) baada ya kupata sare ya bila kufungana na Algeria katika mchezo
Kila la Kheri Taifa Stars Leo
Timu yetu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo usiku itakuwa na mchezo muhimu wa kufuzu michuano ya Afrika AFCON dhidi ya Algeria utakaopigwa katika
Tumezindua rasmi Programu ya Back to School
Mtendaji Mkuu wa Klabu, Imani Kajula leo amezindua Programu ya Back to School ambayo itapita mashuleni kwa ajili ya kutafuta mashabiki wapya na kuendeleza vipaji