read
news & Articles

Timu yapaa yaifuata Al Ahly Misri
Kikosi chetu kimeondoka alfajiri kuelekea Cairo, Misri kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Ijumaa saa

Hiki hapa kikosi kitakachosafiri kuelekea Misri
Kikosi chetu kitaondoka alfajiri kuelekea nchini Misri tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Ijumaa

Timu kuondoka Alfajiri kuelekea Misri
Msafara wa takribani watu 50 mpaka 60 utaondoka kesho saa 11 alfajiri kuelekea nchini Misri tayari kwa mchezo wa Ijumaa wa marudiano wa robo fainali

Tumepoteza nyumbani dhidi ya Al Ahly
Mchezo wetu wa mkondo wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Ahly uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa kupoteza

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Al Ahly Leo
Kikosi chetu leo saa tatu usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Al Ahly kwenye mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Safari yetu ya nusu fainali Afrika inaanza leo kwa Mkapa
Ni ndoto ya kila Mwanasimba kuiona timu yake ikitinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na leo saa tatu usiku safari yetu inaanza rasmi.
