Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Bunda Queens

Simba Queens leo saa 10 itashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Bunda Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL).

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa

Caroline Rufa (38), Ruth Ingosi (20), Fatuma Issa (5), Violeth Nicholaus (26), Daniela Ngoyi (22), Ritticia Nabbosa (27), Elizabeth Wambui (4), Vivian Corazone (17), Jentrix Shikangwa (25), Aisha Juma (10), Mwanahamis Omary (7).

Wachezaji wa Akiba:

Zubeda mgunda (29), Diana Mnally (15), Koku Kipanga (19), Esther Mayala (23), Zainabu Mohamed (8), Danai bhobho (40), Joanitah Ainembabazi (16), Diakiese Kaluzodi (13), Asha Djafar (24).

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER