read
news & Articles
Tumezindua Mtandao Mpya wa Simba Executive Networks
Kwa kushirikiana na Benki ya CRBD leo tumezindua Mtandao Mpya wa Simba Executive Networks ambao lengo lake kubwa ni kukusanya pesa kuendeleza miundombinu ya klabu
Kikosi chawasili salama Zanzibar
Kikosi chetu kimewasili salama Visiwani Zanzibar tayari kwa kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya
VIDEO: Timu kuelekea Zanzibar kwa ajili ya kambi
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema kikosi chetu kitaondoka kesho kuelekea Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kuweka kambi ya siku saba kujiandaa
Tunakwenda kucheza Robo Fainali ya nne ya Ligi ya Mabingwa Machi 29
Ijumaa ya Machi 29 kikosi chetu kitacheza mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly mtanange utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Tumezipata pointi tatu za Mashujaa Chamazi
Kikosi chetu kimefanikiwa kupata pointi tatu katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mashujaa FC uliopigwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Tulianza mchezo
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mashujaa
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kikosi chetu