
VIDEO: Idara ya Habari tumekabidhiwa ‘Faili’ la Usajili
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amekabidhi sanduku lililobeba majina ya wachezaji wote tuliosajili kwa Idara ya Habari kuelekea msimu mpya wa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amekabidhi sanduku lililobeba majina ya wachezaji wote tuliosajili kwa Idara ya Habari kuelekea msimu mpya wa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema mwishoni mwa mwezi huu tutaanza kutambulisha wachezaji wapya tuliowasajili kwa ajili ya msimu mpya wa
Rais wa Klabu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mohamed Dewji ‘Mo’ amekutana na kocha Fadlu Davids kwa ajili ya kujadiliana kuhusu msimu ulivyokuwa
Katika kufanya mabadiliko makubwa ya kikosi kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 timu yetu ya Simba Queens imewaacha wachezaji 11. Mabadiliko hayo yanatokana na
Baada ya makubaliano ya pande mbili kiungo mkabaji raia wa Nigeria, Augustine Okejepha hatakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu ujao wa Ligi 2025/2026.
Baada ya makubaliano ya pande mbili tumevunja mkataba na mlinzi wa kushoto Valentin Nouma raia wa Burkina Faso. Nouma tumemsajili kutoka St. Eloi Lupopo
Mlinda mlango, Aishi Manula hatakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu wa Ligi 2025/2026 baada ya kumaliza mkataba wake. Manula alijiunga nasi mwaka 2017
Ni rasmi kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma hatakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu ujao wa mashindano 2025/2026. Ngoma raia wa DR Congo alijiunga na
Kiungo mshambuliaji, Omari Omari amejiunga kwa mkopo na Mashujaa FC wa mwaka mmoja kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano 2025/2026. Omari alijiunga nasi
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ambaye ni Rais wa Klabu, Mohamed Dewji ‘Mo’ amewataka mashabiki na wapenzi wa timu yetu kuwa watulivu kipindi hiki