
Karibu Simba Mohamed Bajaber
Kiungo mshambuliaji, Mohamed Bajaber amejiunga na kikosi chetu kutoka Polisi Kenya kwa mkataba wa miaka mitatu. Bajaber (22) raia wa Kenya ni mchezaji mwenye
Kiungo mshambuliaji, Mohamed Bajaber amejiunga na kikosi chetu kutoka Polisi Kenya kwa mkataba wa miaka mitatu. Bajaber (22) raia wa Kenya ni mchezaji mwenye
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema usajili wa mshambuliaji, Jonathan Sowah ni jambo muhimu tumelifanya kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026.
Mshambuliaji, Jonathan Sowah atakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili. Sowah (26) raia
Kiungo mkabaji, Hussein Daudi Semfuko atakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Semfuko
Kiungo mshambuliaji, Morice Abraham amejiunga na kikosi chetu kutoka Spartak Subotica ya Serbia kwa mkataba wa miaka miwili. Baada ya kurejea nchini kutoka Serbia,
Kiungo mkabaji, Alassane Maodo Kante amejiunga na kikosi chetu kutoka CA Bizertin ya Tunisia kwa mkataba wa miaka miwili huku tukiwa na kipengele cha
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema wachezaji wakigeni tuliowasajili wataungana na wenzao kambini nchini Misri baada ya kukamilisha taratibu za vibali
Mlinzi wa kati, Che Fondoh Malone hatakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 baada ya kujiunga na USM Algiers ya
Mlinzi wa kati, Rushine De Reuck amejiunga na kikosi chetu kutoka Mamelodi Sundowns kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza
Kikosi chetu kitaondoka kesho alfajiri Julai 30, kuelekea nchini Misri kwa ajili ya kuweka kambi ya maandalizi ya msimu wa mashindano (Pre Season) kwa