
VIDEO: Kocha Fadlu awazungumzia Gaborone United
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema wapinzani wetu Gaborone United kutoka Botswana tuliopangwa nao katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika sio timu
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema wapinzani wetu Gaborone United kutoka Botswana tuliopangwa nao katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika sio timu
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi ya uwanjani kujiandaa na msimu mpya wa mashindano 2025/2026 kikiwa kambini nchini Misri. Mlinzi mpya wa kushoto Anthony Mligo
Droo ya hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekamilika na tumepangwa na Gaborone United kutoka Botswana. Mchezo wa mkondo kwanza utapigwa Septemba
Mshambuliaji wetu nyota, Jonathan Sowah ‘Simba Mweusi’ ameweka wazi kuwa yeye sio mchezaji mkorofi na asiye na nidhamu bali yeye ni mtu anayependa amani.
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi furaha yake kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 kutokana na aina ya wachezaji tuliowasajili. Fadlu amesema msimu uliopita
Bao pekee lililofungwa na mlinzi wa kulia, Shomari Kapombe limetosha kuipa Tanzania ushindi muhimu dhidi ya Mauritania katika mchezo wa pili wa kundi B
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema maandalizi ya timu yanaendelea vizuri huku akiwapongeza wachezaji kwa kujitunza katika kipindi chote cha mapumziko baada ya msimu kumalizika.
Tumeendelea kuimarisha kikosi chetu kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 ambapo sasa tumefanikiwa kuinasa saini ya mlinzi wa kushoto, Anthony Mligo. Mligo tumemsajili kutoka
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya wa mashindano 2025/2026 katika Uwanja wa Mamlaka ya Suez Canal hapa katika mji wa
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeanza vema michuano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao