
Tumetinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Stellenbosch katika mchezo
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Stellenbosch katika mchezo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Moses Mabhida kuikabili Stellenbosch katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika. Tutaingia
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch utakuwa
Kampuni ya Jayrutty imeingia ushirikiano na Kampuni ya kutengeneza vifaa vya michezo ya nchini Italia ya Diadora kwa ajili ya kuzalisha na kusambaza vifaa
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema kikosi kinaendelea na maandalizi ya mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho
Uongozi wa klabu umeweka wazi kuwa kuanzia sasa umebeba dhamana ya kuhamasisha ulipaji Kodi wa hiari kupitia michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika ambayo
Kikosi cha wachezaji 23 kitaondoka kesho asubuhi kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam kutoka Zanzibar baada ya mchezo wa jana wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya
Mchezo wetu wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini uliopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar umemalizika
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kuikabili Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza