
Fadlu: Nimeridhika na Kikosi nilichonacho
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa ameridhika na kikosi chetu kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa mashindano 2025/2026. Fadlu amesema msimu uliopita ulikuwa
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa ameridhika na kikosi chetu kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa mashindano 2025/2026. Fadlu amesema msimu uliopita ulikuwa
Mamia ya mashabiki wamejitokeza kwa wingi kushiriki mbio za Hisani (Fun Run) zenye urefu wa kilomita sita kutoka Coco Beach hadi Sea Clieff na
Timu ya Mpira Pesa Group kimefanikiwa kuibuka Mabingwa wa Tembo Card Simba Matawi Bonanza baada ya kuichapa Simba Asilia bao moja katika mchezo wa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amewaomba Wanasimba kutoka Kibamba kujitokeza kwa wingi kwenye Tamasha letu la Simba Day litakalofanyika Septemba 10
Meneja Habari na Mawasiliano Ahmed Ally ametangaza tarehe rasmi ya uzinduzi wa wiki ya Simba ambayo itazinduliwa katika Viwanja vya Wambi wilaya ya mufindi
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally anazungumza na Waandishi wa Habari muda huu kutoka Serena Hotel kuelekea wiki ya Simba Day. Fuatilia
Tumekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Neo Maema kutoka Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza
Kikosi chetu kimeibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Al Zulfi inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza nchini Saudi Arabia kwenye mchezo wa kirafiki.
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amesema uzinduzi wa jezi zetu za msimu 2025/2026 zitazinduliwa Agosti 27 katika ukumbi wa Super Dome Masaki kuanzia
Tamasha letu la Simba Day mwaka huu litafanyika Jumatano ya Septemba 10 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Simba Day hufanyika Agosti