
Tumepoteza Mchezo wa Ngao ya Jamii
Mchezo wetu wa Ngao ya Jamii wa kuashiria kufunguliwa kwa msimu huu wa mashindano 2025/2026 dhidi ya watani wa jadi Yanga uliopigwa Uwanja wa
Mchezo wetu wa Ngao ya Jamii wa kuashiria kufunguliwa kwa msimu huu wa mashindano 2025/2026 dhidi ya watani wa jadi Yanga uliopigwa Uwanja wa
Leo saa 11 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii ikiwa ni ufunguzi wa
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wa kesho wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani wa jadi Yanga hatuna presha na
Uongozi wa klabu ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Crescentius Magori na na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Klabu,
Leo ndio kilele cha Simba Day ambapo tunakitambulisha kikosi chetu ambacho tutakitumia katika mashindano yote tutakayoshiriki kwenye msimu mpya wa mashindano 2025/2026. Kuna wachezaji
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally ameingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa staili tofauti kabla ya kuanza kukitambulisha mbele ya mashabiki
Msanii wa Bongo Fleva, Mbosso amewapagawisha maelfu ya mashabiki wetu waliojitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye kilele cha Tamasha la Simba
Mgeni Rasmi, Waziri wa Maji, Mh. Jumaa Aweso ameusifu Uongozi wa klabu kwa kuandaa Tamasha bora la Simba Day ambalo haijawahi kutokea kabla. Mh.
Mchezo wetu wa kirafiki wa Kimataifa katika kilele cha Simba Day uliopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam umemalizika kwa ushindi wa
Leo kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kuikabili Gor Mahia katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa wa kilele cha